Msanii wa Hip Hop, Kala Jeremiah akiwa Global TV Online siku ya jana.
Mhariri wa Ijumaa Wikienda, Sifael Paul (kushoto) akiwa katika pozi na Kala Jeremiah.
Wafanyakazi wa Global Publishers, Nyemo Chilongani (kushoto) na Andrew Calos (kulia) wakifanya yao na Kala Jeremiah.
Mhariri wa Championi Ijumaa, John Joseph (kulia) akiwa na Kala Jeremiah.
Clarence Mulisa akiwa rafiki yake wa siku nyingi Kala Jeremiah.
Mtangazaji wa Global Tv Online, Kelvin Shayo (kushoto) akifanya yake.
Mpiga picha wa Global Tv Online, Hihlali Daudi (kushoto) akiongea jambo na Kala Jeremiah.
Video Editor wa Global TV, Shaban Juma (kushoto) akiwa na Kala Jeremiah.
[…] Matumizi ya lugha […]