Kalanga, Waitara na Mzava Wapitishwa Kugombea Ubunge CCM
Kikao cha Kamati Kuu Maalum cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya uteuzi wa wagombea wakatika uchaguzi mdogo wa ubunge:
Julius Kalanga Laizer – Jimbo la Monduli
Mwita Mikwabe Waitara – Jimbo la Ukonga
Timotheo Paul Mzava – Jimbo la Korogwe Vijijini
Comments are closed.