Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Simon Sirro alipozungumza jana na askari wa vikosi vya Mjini Magharibi, Kusini Unguja na Kaskazini Unguja alipopokwenda kufanya mazungumzo ya kikazi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Simon Sirro, jana amezungumza na askari wa vikosi vya Mjini Magharibi, Kusini Unguja na Kaskazini Unguja alipopokwenda kufanya mazungumzo ya kikazi na maofisa na askari visiwani Zanzibar.
Mkuu huyo wa Jeshi la Polisi aliwataka askari kuheshimu wananchi wakiwa kwenye kazi zao ili kuendelea kuleta heshima ya jeshi hilo.
Comments are closed.