NAIBU Waziri wa Afya,Maendeleo,Wazee na Watoto, DK.Hamis Kigwangalah amefungua Mkutano wa vijana barani Afrika unaolenga vijana kujadili namna wanavyoweza kujikwamua kiuchumi.
Mkutano huo unafanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Comments are closed.