Kigwangalla Amjibu Makonda Sakata la Idris na Picha ya JPM
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Kigwangalla amesema; “Nimeambiwa kuna msanii wa vichekesho anatafutwa na polisi, akikamatwa mniambie, nitajitolea mwanasheria wa kwenda kumuwekea dhamana na kumtetea. Rais wetu ni mtu wa watu na imejidhihirisha kwa jinsi wananchi walivyojitolea kumuombea dua siku ya kuzaliwa kwake! Wameonesha upendo.”
Comments are closed.