PIGO jingine limekikumba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya madiwani wake watatu kujivua nyadhifa zao na kutangaza kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakieleza kuwa wanakwenda kumuunga mkono Rais Dkt. Magufuli.
KILIMANJARO: Diwani wa Kata ya Weruweru (CHADEMA), amekihama chama hicho na kujiunga na CCM ili kuweza kumuunga mkono Rais Dkt @MagufuliJP. pic.twitter.com/GgZx2HPuTt
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 26, 2017
KILIMANJARO: Diwani wa Kata ya Mnadani, Evarist Peter Kimathi (CHADEMA) amejiuzulu nafasi hiyo leo na kujiunga na Chama cha Mapinduzi. pic.twitter.com/asZTmC9zwV
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 26, 2017
KLM: Diwani wa Kata ya Machame Magharibi (CHADEMA), Goodluck Kimaro amejiunga CCM akidai chama hicho hakina demokrasia kama kinavyojinasibu. pic.twitter.com/DxcEKfcifC
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 26, 2017