The House of Favourite Newspapers

KILIMANJARO: Madiwani Watatu Chadema Wahamia CCM

0

PIGO jingine limekikumba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya madiwani wake watatu kujivua nyadhifa zao na kutangaza kujiunga Chama Cha Mapinduzi  (CCM) wakieleza kuwa wanakwenda kumuunga mkono Rais Dkt. Magufuli.

 

Leave A Reply