Kunenge Kukutana na Wafanyabiashara, Wawekezaji
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge, anatarajiwa kukutana na wafanyabiashara na wawekezaji jijini humo Desemba 10, 2020, kwa lengo la kuwka mazingira bora ya uwekezaji na biashara ili kila mmoja aweze kunufaika na shughuli anayoifanya.
Amesema mazingira bora ya biashara na uwekezaji yatarahisisha ukusanyaji mzuri wa kodi na ongezeko la ajira kwa wananchi.