WATU zaidi ya 23 wamefariki leo (Alhamisi) katika studio ya kurekodi matangazo na kuchapisha vitabu na majarida mbalimbali katika vyombo vya habari mjini Kyoto, Japan, maofisa wa zimamoto wamesema.
Idara ya zimamoto ya Kyoto imethibitisha kwamba watu 13 wamefariki na zaidi ya kumi walikutwa hawajitambui ndani ya jengo hilo linalomilikiwa na kampuni ya Kyoto Animation Co.
Nchini Japan, maofisa wa serikali hutumia neno “kutojitambua” kuelezea vifo vya watu ambao chanzo cha vifo vyao vinakuwa havijathibitishwa rasmi.
Comments are closed.