JPM Azikumbuka Bakora 24 Nyerere – Video
Akihutubia wananchi Rais Magufuli, amesema moja ya vitu ambavyo Mwalimu Nyerere alikuwa akivikemea ni suala rushwa na kueleza alihakikisha watuhumiwa wa rushwa, walikuwa wakichalazwa bakora 12 wakati wa kuingia jela, na kupigwa bakora 12 wakati wa kutoka jela.
Comments are closed.