Shuhudia LIVE Makomando Wakikinukisha Kwenye Sherehe za Miaka 53 ya Muungano
Makomando wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakifanya maonyesho wakati wa sherehe za kutimiza miaka 53 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar zinazofanyika katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
TAZAMA VIDEO HAPA