The House of Favourite Newspapers

Live: Mashindano ya Qur-an ya Dunia Yafanyika Diamond Jubilee, Dar

0

SUBSCRIBE NOW: https://www.youtube.com/user/uwazi1
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kuhifadhisha Qur-an Tanzania Sheikh Othman Ally Kaporo amesema kuwa jumuiya hiyo imetenga kiasi cha dola za kimarekani elfu 25 kwa ajili ya washindi watakaoibuka kwenye mashindano ya kimataifa ya kusoma Qur-an ambayo yanafanyika leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee.
SUBSCRIBE NOW: https://www.youtube.com/user/uwazi1
Sheikh Kaporo ameeleza kuwa mashindano hayo ya sita kimataifa tangu waanze kuratibu yanataraji kuzishirikisha nchi 19 ambazo ni Kenya, Uganda, Mali, Nigeria, Algeria, South Africa, Bangladesh, Sudan, Kuwait, Libya, Djibouti, UAE, Russia Federation, USA, Yemen, UK, Dubai, Tanzania Bara na Visiwani (Zanzibar).

 

Leave A Reply