VIDEO: NCCR-Mageuzi Kuchagua Viongozi Wapya Leo, Diamond Jubilee
Chama cha NCCR-Mageuzi, leo Jumamosi Julai 27, 2019 kinafanya mkutano wa uchaguzi wa viongozi wapya wa chama hicho katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam, ambapo viongozi balimbali wa kidini na kisiasa wamehudhuria
Comments are closed.