Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa Anatoa Taarifa Rasmi ya Ajali ya Ndege Iliyoua Watu 19-Video
MSEMAJI wa Serikali Gerson Msigwa ameongea na waandishi wa habari na kutoa taarifa rasmi iliyotolewa na Baraza la Mawaziri Juu ya ajali ya Ndege ya Kampuni ya Precision Air iliyoua watu 19.