Rais Magufuli Akutana na Wahandisi na Wadau wa Ujenzi – Video
Rais Dkt. John Magufuli leo Sept. 4, 2019 amekutana na wahandisi na wadau wa sekta ya ujenzi katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam, mkutano huo pamoja na mambo mengine utajadili masuala mbalimbali yanayohusu sekta hiyo.
Comments are closed.