The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Ashiriki Maadhimisho Ya Mashujaa yanayofanyika Dodoma – Video

0


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki  Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa  yanayofanyika katika Mji wa Serikali Mtumba Dodoma leo tarehe 25 Julai, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma leo tarehe 25 Julai, 2024.

Leave A Reply