LIVE: UVCCM Wawavaa Chadema Kesi Ya Mbowe “Acheni Mahakama Iamue”
KATIBU Mkuu wa UVCCM, Kenani Kihongosi, leo Oktoba 26, amezungumza na wanahabari kuzungumzia masuala mbalimbali ya kimaendeleo yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu, ndani ya miezi sita..