Breaking News: Wallace Karia Aibuka Mshindi Kiti cha Urais wa TFF
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wakili Revocatus Kuuli amemtangaza Rasmi, Wallace Karia kuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania na Michael Wambura kuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho hilo.
Wallace Karia ameibuka mshindi wa kiti hicho baada ya kuwaburuza wapinzani wake kwa kupata kura 95 kati ya kura halali 125 zilizopigwa.
Matokeo ya Urais
Kura ziliopigwa-128
Zilizoharibika-3
Iman Madega- 8
Mwakalebela- 3
Emmanuel Kimbe- 1
Shija Richard- 9
Ally Mayay- 9
Wallace Karia- 95 (Mshindi)
PICHA NA MUSA MATEJA | GPL| DODOMA