The House of Favourite Newspapers

Picha: Mabweni ya Iyunga Sekondari Yateketea kwa moto

0

iyunga (1) Askari wa Kikosi cha Zimamoto Jijini Mbeya, akiendelea na jitihada za kuuzima moto unaoendelea kuwaka na kuteketeza Mabweni ya shule ya Sekondari Iyunga jijini humo, chanzo cha moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa, na jitihada za kuuzima zinaendelea.
iyunga (3) Kikosi cha Zimamoto Jijini Mbeya, kikiendelea na jitihada za kuusima moto huo.

iyunga (4)Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Iyunga jijini Mbeya, wakiwa wakiwa nje ya Shule yao wakiangalia bila kujua cha kufanya wakati Mabweni yao yakiteketea kwa moto. Picha na habari kamili itawajia kadri tutakavyozipata.iyunga (2)

Jitihada za kuuzima moto huo zikiendelea.

Leave A Reply