The House of Favourite Newspapers

Magufuli Atangaza Siku 3 Maombolezo ya Mugabe

Rais Dkt John Magufuli ametangaza siku 3 za maombolezo ya kitaifa kuanzia Septemba 6 kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Zimbabwe, Robert Mugabe. Rais Dkt Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa SADC amesema katika siku hizo za maombolezo, bendera zitapepea nusu mlingoti.

Comments are closed.