MAIMUNA AMTWANGWA HAPPY DAUDI DAR LIVE
WANAMASUMBWI wa kike, Happy Daudi na Maimuna Hashimu, usiku wa kuamkia leo walirushiana makond katika pambano la utangulizi la raundi tatu kwenye ‘Usiku wa Mwisho wa Ubishi’ uliofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala, Dar.
Mshindi wa pambano alikuwa ni Maimuna kwa upata ushindi wa jumla ya pointi 47 kwa 40.
HABARI NA PICHA; RICHARD BUKOSI/ISSA LIPONDA/ GPL
Comments are closed.