The House of Favourite Newspapers

Majaliwa Amwakilisha Rais Dkt. Samia Ibada Ya Kumweka Wakfu Rev. Canon Mlula

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Machi 09, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye ibada ya kumweka wakfu na kumweka kitini Rev. Canon Bethuel
Joel Mlula kuwa askofu wa pili wa kanisa Anglikana, Dayosisi ya Kiteto.

Ibada hiyo imefanyika katika Kanisa Kuu Anglikana na Mtakatifu Mikaeli, Kiteto.