Rais John Pombe Magufuli, leo Ijumaa, Novemba 16, 2018 amekutana na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia (Afrika), Dr. Hafez Ghanem, Ikulu jijini Dar es Salaam, ambaye ametangaza kuwa Benki ya Dunia imeridhia kutoa Dola za Marekani milioni 300 kwa ajili ya mradi wa kuongeza ubora wa elimu ya Sekondari.
“Hata zile Dola milioni 300 ambazo watu wasiotutakia mema walisema zimefyekelewa mbali hakuna lolote, Yeye (Makamu wa Rais Benki ya Dunia Afrika) amesema zipo na tutapewa” amesema Rais Magufuli.
Comments are closed.