Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesikiliza Maelezo kutoka kwa Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa na Serikali wa Benki ya NMB, Alfred Shao wakati alipotembelea Banda la NMB wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 37 Jumuia ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) unaoendelea jijini Arusha.