The House of Favourite Newspapers

Makamu wa Rais Kufungua Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA leo

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Tabora leo tarehe 06 Juni 2023.

Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora kwaajili ya Kufungua Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA .

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Philip Mpango amewasili Tabora leo Juni 6, 2023. Makamu wa Rais amewasili Mkoani Tabora kwaajili ya Ufunguzi wa Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA yanayofanyika katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi.

Leave A Reply