Mama Samia Suluhu Ashiriki Maadhimisho Ya Miaka 43 Ya CCM Dar
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Februari 13,2020 ameshiriki Maadhimisho ya Miaka 43 ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee.
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)