Makamuzi ya Twanga Pepeta Usiku wa Kuamkia Leo ni Sheeda
Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ usiku wa kuamkia leo ilifanya makamuzi kwenye Baa ya Brazil iliyopo Tegeta Kibo jijini Dar.
Katika onesho hilo wakongwe Ally Choki, Luiza Nyoni na Msafiri Diouf waliliongoza vyema kundi hilo huku Super Nyamwela nae akiongoza safu ya Unenguaji. Shuhudia Picha hizi.
PICHA: RICHARD BUKOS / GPL
Comments are closed.