The House of Favourite Newspapers

Makontena 10 ya Kemikali Bashirifu Yakamatwa Bandarini

0


Aidha mamlaka hiyo imebaini kuwa, kampuni inayotuhumiwa kwa sakata hilo imekuwa ikiingiza kemikali hizo tangu mwaka 2016, ambapo taarifa zinaonyesha waliwahi kuingiza lita milioni 1.5 za kemikali bashirifu ambazo zinaonyesha zilipelekwa kwenye kampuni moja iliyoko Mbezi Luis.

Baada ya kufuatilia wakagundua kuwa kampuni hiyo inajihusisha na yard ya magari na siyo kutunza wala kuchakata kemikali jambao ambalo liliwapa wasiwasi na kuamua kufanya uchunguzi zaidi.

Taarifa zaidi tutakuletea baadaye.

Leave A Reply