The House of Favourite Newspapers

Malaika: Mi’ mbichi jamani,  sina mtoto!

1

MALAIKAMwanamuziki Malaika.

Boniphace Ngumije

Mwanamuziki Malaika juzikati alitolewa kwenye Shindano la Ijumaa Sexiest Girl 2015 kufuatia madai kuwa ana mtoto na amekuwa akificha kuhusu hilo.

Alipobanwa kwa nini anadanganya hana mtoto wakati ni heshima kwa mwanamke alisema: “Jamani nidanganye sina mtoto ili iweje, kama yupo aliyenizalisha ajitokeze, mimi bado mbichiii.”

1 Comment
  1. joseph john says

    basi kama hakuna aliyejitokeza gpl mrudisheni kwenye shindano

Leave A Reply