Mama Rwakatare Awapa Mbinu Wakristo – Video
KIONGOZI wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God, Askofu Dkt. Getrude Rwakatare amewataka Wakristo wote nchini kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidii kwa maana utajiri wa Kimungu unakuja kwa maombi na kufanya kazi kwa bidii.