Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania, Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan ametembelea Banda la Benki ya NBC kwenye ufunguzi wa maonesho ya Nane Nane yanayofanyika Kitaifa Mkoani Simiyu leo Jumamosi, Agosti 1, 2020.
Benki ya NBC imekuwa ni mdhamini wa maonesho haya ya Nanenane kwa mwaka wa tatu mfululizo.