Samia Apokea Wapinzani 150 Tandahimba
MGOMBEA mwenza wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 11, 2020 amezungumza na wananchi wa Jimbo la Mahuta, Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, kwenye mkutano wa kampeni wa CCM kijijini Mahuta, Mtwara, leo Septemba 11, 2020.