MAMBO MAWILI YATAKAYOKUSAIDIA KUPUNGUZA UZITO KUPITA KIASI
UZITO kupita kiasi ni tatizo linalosababishwa na mambo mengi ikiwemo mitindo ya maisha. Watu wamekuwa wakitamani kupungua kwa kuchoka ile adha ya unene ambayo aghalabu huambatana na maradhi mbalimbali miongoni mwayo ni: kisukari na shinikizo la damu.
NITAWEZAJE KUJUA KWAMBA NINA UZITO KUPITA KIASI?
Njia mojawapo ni ile ya kutumia… BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI