Anthony Martial alitumia juhudi binafsi na kumtengenezea pande Jesse Lingard na kuandika goli la kwanza.
Casemiro aliisawazishia Madrid kwa njia ya penalti baada ya mlinzi mpya wa United Victor Lindelof kumuangusha Theo Hernandez katika eneo la hatari. Penalti saba kati ya kumi hazikuingia nyavuni.
REAL MADRID (4-3-3): Navas; Carvajal (Hakimi 46), Varane (Quezada 46), Nacho (Manu 46), Marcelo; Modric (Kovacic 46), Kroos, Isco (Oscar 46); Vazquez (Hernandez 46), Benzema (Gomez 46), Bale (Franchu 46). Subs: Tejero, Gomez, Casilla, Mayoral, Zidane, Yanez.