Mapenzi Yamtesa Nuh Mziwanda Kwenye ‘Natapatapa’ Video Mpya
Msanii wa bongo fleva, Nuh Mziwanda akubali mapenzi yanamtesa kwenye video ya wimbo wake mpya Natapatapa.
“Nayapenda sana Mapenzi Lakini yenyewe hayanipendi Mimi” ameandika Nuh kwenye akaunti yake ya instagram kwenye kusapoti kazi yake hiyo mpya.
Video imeongozwa na Khalfani Khalmandro.
Tumekuwekea hapa video mpya zinazofanya vizuri kwa sasa, ingia Global App na kama huja-install, tumekuwekea link hapa chini:👇👇👇👇
Android ===>GooglePlay
iOS ===>AppStore
Itazame hapa.
Comments are closed.