Mapinduzi Ya Huduma za Vikundi Kidijitali Tanzania – Video
VODACOM kwa kushirikiana na TPB Benki wamekuletea huduma mpya ya kutunza fedha, kupeana mikopo na kugawana faida kwa vikundi kama familia na marafiki, VICOBA, VSLA, UPATU na vikundi mbalimbali vyenye utamaduni wa kuchanga kwa lengo la kuweka akiba na kukopeshana pesa. Huduma hii inaitwa M-KOBA.
M-KOBA ni huduma mpya ya kuchanga Kidigitali inayoleta usalama0 wa fedha za wanakikundi, uwazi na urahisi wa kuchanga kutoa popote kupitia mtandao wa Vodacom M-pesa.
M-KOBA Imeletwa ili kutatua changamoto mbalimbali ambazo Vikundi vinakutana nazo katika mfumo wa kutumia pesa taslim kama usalama mdogo wa fedha zinazokusanywa, wanavikundi kutokuwa urahisi wa kukusanya pesa.
Piga *150*00# > chagua HUDUMA ZA KIFEDHA > Chagua M-KOBA.
Kwa maelezo zaidi na msaada zaidi kuhusu huduma ya M-KOBA piga huduma kwa wateja namba 100 bure wakati wote.
Comments are closed.