The House of Favourite Newspapers

Masai Warriors Wapagawisha Watoto Sikukuu Ya Idd Dar Live

0

1.Mmoja wa wanaKikundi cha Masai warriors akionesha ujanja wake wa kuendeha baiskeli ya taili moja.Mmoja wa wanakikundi cha Masai Warriors akionesha ujanja wake wa kuendeha baiskeli ya tairi moja.

2.Watoto wakizidi kumshangaa mtaalamu huyo wa kutembelea baiskeli ya taili moja.Watoto wakimshangaa mtaalam huyo wa kutembelea baiskeli ya tairi moja.3.Masai warriors wakionesha madoidi yao kwa watoto wao.Masai Warriors wakionesha madoido kwa watoto.4.Mmoja wa wanakikundi cha Masai Warriors akionesha ujanja wa kukunja viongo vyake siku ya Idd El Hajj jana nyakati za jioni.Msanii akionesha ujanja wa kukunja viungo.5.Watoto wakizidi kupokea burudani mwanzo mwisho kwa Massai Warriors.Watoto wakizidi kufurahia burudani.6.Mtaalamu wa kuchezea baiskeli akionesha ujanja wake mbele ya watoto hao.Mchezea baiskeli akiendelea na ujanja wake.7....wakendelea kuonesha utaalamu wao.Maonyesha yakiendelea.

WAUMINI wa dini ya Kiislam nchini kote jana waliungana na waumini wenzao duniani kote kusherehekea sikukuu ya Idd El Hajj.

Katika kusherehekea sikukuu hiyo, ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijiniDar es Salaam,  kulikuwana tamasha lililotambulishwa kama ‘Amerudi Night’ ambapo kikundi cha Masai Warriors waliwapagawisha watoto kwa kuonesha michezo mbalimbali ikiwemo sarakasi, kuchezea baiskeli na michezo mbalimbali.

NA DENIS MTIMA/GPL

Leave A Reply