The House of Favourite Newspapers

Mashabiki Wa Wema, Sanchi Watambiana

0
Staa wa Bongo mwenye mvuto wa pekee, Wema Sepetu

WIKI hii imekuwa gumzo katika ukurasa wetu wa Facebook baada ya mashabiki wa Wema  na Sanchi kutambiana kila mmoja kuwa ataibuka mshindi.

Staa wa Bongo, Sasha.

Kama tujuavyo tupo na washiriki wanne tu ambao wataelekea katika fainali itakayofanyika Sikukuu ya Idd ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem.

Modo mwenye figa ya kuvutia nchini Bongo anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya urembo, Sanchoka yeye hupenda kujiita Sanchi.

Unavyodhani nani kati ya hao washiriki yaani Sasha, Wema, Masogange na Sanchoka ataibuka mshindi? Jibu ni rahisi, chukua simu yako, nenda kwenye sehemu ya kuandikia SMS kisha andika SHEPU acha nafasi ,andika namba ya mshiriki unayemtaka abaki na utume kwenda 15542. Namba zao ni Wema ni  18, Sanchi – 25,  Sasha -12 na Masogange -23.

Hii ni kwa wateja wa VODACOM pekee.

Msanii, Agnes Gerald maarufu kama Masogange.

Leave A Reply