The House of Favourite Newspapers
gunners X

Mashabiki Wafurika Mapema Mchezo wa Biashara vs Simba

MTANDAO huu ukiwa katika harakati zake za kuwahabarisha wasomaji wake, tayari kabla ya kutimia saa 6 mchana Jumamosi ya leo Aprili 27, 2019,  dimba la Karume mjini Musoma limeshafurika mashabiki  kibao wakisubiri kuushuhudia mchezo wa Ligi Kuu kati ya wenyeji Biashara United dhidi ya Simba ambao utapigwa  kuanzia saa 10:00 jioni leo.

Hali ilivyokuwa ndani ya Uwanja wa  Karume mjini Musoma kabla ya kufika saa 6 mchana. 

Hali ilivyokuwa nje ya dimba hilo, mashabiki wakihangaika kuingia ndani. 

Comments are closed.