The House of Favourite Newspapers

Mastaa Bongo Fleva Wanavyochuana kwa Mikoko!

Nay (9)Na Erick Evarist | Risasi Jumamosi:

WASANII wa Marekani walitangulia kwa muda mrefu kabla wasanii wetu wa Bongo Fleva hawajaanza kuimba. Pamoja na majumba ya kifahari, kumiliki biashara mbalimbali, miongoni mwa mambo ambayo waliyafanya baada ya kufanikiwa kimuziki ni pamoja na kumiliki magari ya kifahari.

MWANAFA-NEWMwana FA

Kibongobongo pia, wasanii wetu nao hawapo nyuma. Baada ya kuanza kupata mafanikio, wapo wasanii walioonesha heshima kwa kununua magari ambayo kwa levo yao tunaweza kuyaita ya kifahari.

JIDEJide

Ifuatayo ni orodha ya magari wanayoyamiliki baadhi ya mastaa wa Bongo Fleva yakiwa na makisio ya gharama za kila gari husika:

gari-la-madee

MADEE: Toyota Harrier Lexus (Sh. Mil 25-30)

gari-la-dimpozDIMPOZ: Toyota Prado Short Chassis (Sh. Mil 30-35)

img_0090

DIAMOND: BMW X6 (Sh. Mil. 100-140)

SHETTA: Toyota Harrier Lexus (Sh. Mil. 25-30)mark-x-ya-mwanafa

MWANAFA: Toyota Mark X (Sh. Mil 18-20)

gari-la-ayAY: Range Rover (Sh. Mil. 100- 140)

gari-kama-la-jideJIDE: Range Rover Evog (Sh. Mil.100-130)

jux

JUX: Nissan FUGA (Sh. Mil.20-25)

gari-la-nayNAY WA MITEGO: Toyota Prado (Sh. Mil. 35-40)

quick-rockaaaa

QUICK ROCKA: MERCEDES BENZ (Sh. Mil. 18-20)

Comments are closed.