Matukio Ya Mechi Ya Majimaji, Yanga (Pichaz)
Timu ya Majimaji leo imewashika shati timu ya Yanga katika Uwanja wao wa nyumbani wa Majimaji mjini Songea kwa kufungana bao 1-1. Mabao yote yamefungwa kipindi cha pili.
PICHA: RICHARD BUKOS/ GPL – SONGEA