MBOSSO Afunguka Ndoa ya DIAMOND, Kushikwa Sehemu Nyeti – VIDEO
HIT MAKER wa ngoma ya Tamu, Mbosso, amesema hakutarajia kama Basata ingetoa msamaha kwa Bosi wake Diamond Platnumz na Rayvanny, ndani ya muda mfupi hivyo.
Mbosso pia amezungumzia suala la Ndoa ya Bosi wake huyo na Mpenzi wake mpya kutoka Kenya Tanasha Donna, ambayo inasemekana itafanyika Siku ya wapendanao Februari 14.
Comments are closed.