The House of Favourite Newspapers

Mbowe na Lissu Wakutana kwenye kikao cha Kamati Kuu Chadema – Picha

0

Viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo Januari 10, 2025 wamekutana kwenye kikao cha Kamati Kuu kinachofanyika makao makuu ya chama, Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu  Lissu akisalimiana na wajumbe wa Kamati Kuu waliokwisha wasili katika ukumbi wa Makao Mkuu, Mikocheni Dar Es salaam tayari kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu.

Leave A Reply