MTU Mmoja, raia wa Latvia, Linda Mazule, amekamatwa leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na dawa za kulevya aina ya ‘heroin’ zenye uzito wa kilo tano.
Polisi DSM ‘ILIVYOWANASA’ Watu Watatu Wakisafirisha Madawa!
Kituo cha kupambana na Dawa za Kulevya nchini kimesema mtu huyo aliyejifanya mchungaji, alitiwa mbaroni kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi.
Comments are closed.