The House of Favourite Newspapers

Mercy Johnson apata mtoto wa tatu

0

image (1)Mercy akiwa na mwanaye.

MKONGWE wa filamu kutoka Nollywood, Mercy usiku wa kuamkia leo amefanikiwa kujifungua mtoto wake wa tatu katika Hospitali ya University of Maryland (Saint Joseph), Marekani.

Hii imekuwa mara ya pili kujifungua mtoto katika hospitali hiyo ambapo mtoto wake wa pili alijifungua hapo lakini wa kwanza alijifungua katika hospitali ambayo haikuwekwa wazi.

58825d03Mume wa Mercy, Prince okojie tayari yupo nchini Marekani kumpa sapoti mkewe na inasemekana kuwa familia yote itakuwepo nchini humo kusherehekea Sikukuu ya Krismasi pamoja.

(Imetayarishwa na Andrew Carlos/Gpl)

Leave A Reply