The House of Favourite Newspapers

Video: Mfanyabiashara Adakwa Akidaiwa Kutapeli Kwenye Upatu na Vikoba

Wananchi mbalimbali Machi 24, 2025  wamefika katika Kituo cha Polisi Mbweni ambako mwanadada aitwaye Tumaini almaarufu Hope Brand anashikiliwa kwa tuhuma za kuwatapeli fedha zao kupitia kuchezesha michezo ya upatu na Vicoba kupitia magroup ya WhatsApp.