The House of Favourite Newspapers

Mitandao Yote Hii Imefungiwa Kabisa China

China ni nchi inayoongoza kwa kufungiwa mitandao mingi sana ya kijamii, website pamoja na applications. Baadhi ya sababu zilizoripotiwa kwamba zimefanya mpaka kufungiwa kwa mitandao hiyo ni ushindani wa kibishara, kodi, Taarifa nyeti, Usalama wa nchi na Taifa.

 

Zifuatazo ni mitandao ya kijamii iliyofungiwa nchini China.

Mitandao ya Kijamii iliyofungiwa

  • Facebook
  • Twitter
  • Snapchat
  • Instagram
  • Youtube
  • Pinterest
  • Google+
  • Blogspot
  • Flickr
  • Periscope
  • Tinder
  • Reddit

 

Search Engine zilizofungiwa

  • Google
  • DuckDuckGo
  • Yahoo

 

Application za meseji zilizofungiwa

  • Facebook Messenger
  • Whatsapp
  • Telegram
  • LINE
  • KaKao Talk
  • Signal

 

Website za kusikiliza audio na kuangalia video pamoja na application

  • outube
  • Netflix
  • Vimeo
  • Dailymotion
  • Twitch
  • Periscope
  • Instagram
  • Snapchat

 

Email zilizofungiwa

  • Gmail

 

Cloud Storage na Productivity

  • Dropbox
  • Google Drive
  • Google Docs
  • Scribd
  • Slack

 

Website za Habari na matukio

  • New York Times
  • The Economist
  • Bloomberg
  • Wall Street Journal
  • Reuters
  • Wikipedia (English)
  • The Guardian
  • Le Monde
  • CNN
  • BBC
  • ABC

Comments are closed.