The House of Favourite Newspapers

Mkali Wenu: Mimi Siwezi Kuchoma Gari Langu Nililopewa Na Nabii Geordavie – Video

Msanii wa vichekesho nchini Jackson Supakila ‘Mkali Wenu’ ameeleza kupitia Global TV, kuwa huenda yeye ameshuka kisanaa kwa sasa lakini kushuka kwake kusifananishwe na zawadi ya gari alilowahi kupewa na Nabii Mkuu, Geordavie.