Mkasa Wa Kweli: Miaka 10 Ndani Ya Ndoa, Shoga’ake Akampeleka Kwa Mganga – Video

Mwanadada Rosemary amefunguka kupitia kipindi cha Kontena ya Global TV na kueleza kuwa mojawapo ya sababu zilizopelekea kuvunjika kwa ndoa yake ni rafiki yake ambaye alimshawishi kumloga mume wake.