The House of Favourite Newspapers
gunners X

Mkuchika: Wakurugenzi Kuhudhuria Vikao vya CCM Hakuna Tatizo – Video

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, George Mkuchika amesema hakuna ulazima na wala hakuna kanuni au sheria za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwalazimisha wakurugenzi wa halmashauri kuhudhuria vikao vya CCM kwa sababu siyo wajumbe wa vikao hivyo bali wanaweza kuitwa katika vikao hivyo kwenda kutoa taarifa za utekelezaji wa ilani ya chama kilichopo madarakani.

MSIKIE HAPA AKIZUNGUMZA BUNGENI DODOMA

Comments are closed.