The House of Favourite Newspapers

Mkurugenzi wa Global afanya usafi na wafanyakazi wake

0

GLOBAL USAFI (5) GLOBAL USAFI (7)Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo, akifanya usafi leo nje ya Ofisi ya Global Bamaga, Mwenge jijini Dar.

GLOBAL USAFI (9)…Akiendelea kufanya usafi.

GLOBAL USAFI (23)Meneja Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers Abdalah Mrisho akimwaga maji kuondoa  vumbi eneo la ofisi yake.

GLOBAL USAFI (27)Mhariri Kiongozi wa Global Publishers, Richard Manyota (kulia), Aloyce James (kushoto) na Ally Mbetu (katikati) wakiendelea na usafi.

GLOBAL USAFI (19)Wafanyakazi wa Global wakiendelea na usafi.

GLOBAL USAFI (3)Mhariri Kiongozi wa Gazeti la Championi, Saleh Ally (kushoto) akiwa na Walusanga Ndaki wakiendelea kufanya usafi.

GLOBAL USAFI (17)

GLOBAL USAFI (21)GLOBAL USAFI (29)GLOBAL USAFI (30)GLOBAL USAFI (15)Mkurugenzi wa Global akiwa na wafanyakazi wenzake baada ya shughuli ya usafi.

(PICHA: RICHARD BUKOS/GPL)

Leave A Reply