Mkurugenzi wa Global afanya usafi na wafanyakazi wake
Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo, akifanya usafi leo nje ya Ofisi ya Global Bamaga, Mwenge jijini Dar.
…Akiendelea kufanya usafi.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers Abdalah Mrisho akimwaga maji kuondoa vumbi eneo la ofisi yake.
Mhariri Kiongozi wa Global Publishers, Richard Manyota (kulia), Aloyce James (kushoto) na Ally Mbetu (katikati) wakiendelea na usafi.
Wafanyakazi wa Global wakiendelea na usafi.
Mhariri Kiongozi wa Gazeti la Championi, Saleh Ally (kushoto) akiwa na Walusanga Ndaki wakiendelea kufanya usafi.
Mkurugenzi wa Global akiwa na wafanyakazi wenzake baada ya shughuli ya usafi.
(PICHA: RICHARD BUKOS/GPL)